Mwanadada mkali Lady Jay Dee leo kufanya uzinduzi rasmi wa ngoma yake mpya ya ‘Joto Hasira’ aliyomshirikisha mkali wa rap Prof. Jay ndani ya EATV katika kipindi chako cha FNL. Continue reading
Finny Muyeshi wa CECAFA afariki.
A
fisa Habari wa Shirikisho la Soka la Afrika Mashariki na Kati (CECAFA), Finny Muyeshi, amefariki dunia juzi Jumatano usiku. Continue reading
Mwanamke Jasiri zaidi Tanzania mwaka 2013, Huyu hapa!
Nchi ya Marekani imemteua Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Fatma Abdulhabib Fereji, kuwa ni kati ya wanawake wawili jasiri Tanzania katika mwaka 2013.
Continue reading
Tamko la Waziri Bernard Membe juu ya Absalom Kibanda.
Waziri wa nje na ushirikiano wa kimtaifa Bernard Membe ameamua kutoa tamko kwa vyombo vya habari kuhusiana na kujeruhiwa kwa Mwenyekiti wa jukwaa la Waharirir Bw. Absalom Kibanda
Happy Birthday kwa Msanii Pasha Mtepa
Leo ni Birthday ya msanii kutoka nchini Tanzania Pasha Mtepa na kupitia Account yake ya Facebook aliweza kushukuru kama hivi Continue reading
Leo ni siku ya kuadhimisha matatizo ya Figo duniani.
Leo ni siku ya kuadhimisha tatizo la figo duniani, Vijana Tanzania tunapenda kuwashauri watu kuwa makini sana na vyakula wanavyokula maana vyakula ndio husababisha mara nyingi figo kufeli na kushindwa kufanya kazi vizuri. Continue reading
Kalah Jeremiah aibua ‘Karibu Dar’
Msanii mkali wa muziki wa Hip Hop Tanzania Kalah Jeremiah ameibuka na wimbo mpya tena unaojulikana kwa jina la ‘karibu Dar’ na ameutambulisha rasmi kwa wadau na kutaka mashabiki wafurahie. Continue reading
Lulu azidi kunenepa baada ya kutoka Gerezani
Msanii Elizabeth Michael a.k.a Lulu ambaye alikuwa gerezani itmabo kirefu, ameonekana kuzidi kunawiri toka alivyokuwa gerezani na hadi sasa yuko uraiani amezidi kunawiri. Continue reading
Wema Sepetu aamua kupiga Para.
Mrembo na Miss Tanzaniawa zamani, Wema Sepetu ameamua kubaki natural baada ya kuzinyoa nywele zake.
Kupitia Instagram, Wema ameshare picha hizo na kuandika, ‘me apa nimenyoa nywele’ na kusema ukweli amependeza maana kuna watu wengine wakinyoa huwa inaboa. Continue reading