Mwanamke Jasiri zaidi Tanzania mwaka 2013, Huyu hapa!


Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Fatma Abdulhabib Fereji

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Fatma Abdulhabib Fereji

Nchi ya Marekani imemteua Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Fatma Abdulhabib Fereji, kuwa ni kati ya wanawake wawili jasiri Tanzania katika mwaka 2013.
Continue reading